Siku pamoja na Yesu

Ni maombi yetu kuwa, hizi siku 40 pamoja na Yesu zimekupa mwanga wa kufahamu jinsi anavyotaka uishi, kuongoza na kuwashawishi wengine. Tunaendelea kuomba pamoja nawe, ili maisha yako, mahusiano na huduma yako viendane na malengo ya ufalme wake.

Siku 40 Pamoja na Yesu

Siku ya 1: Mwanzo Mwanzo 1:1 – 26:5; Isaya 52:7 – 53:12

Siku ya 10: Heri Luka  6:17-23

Siku ya 18: Dhoruba Luka 8:22-26

Siku ya 23: Maombi na woga Luka  11:9-13, 12:22-28

Siku ya 27: Kipofu Luka 18:35-43

Siku ya 28: Zakayo Luka 19:1-10

Siku ya 30: Maswala ya Fedha Luka 19:45 – 21:4

Siku ya 38: Amefufuka Luka 23:56 – 24:50

Siku ya 39: Mwaliko Warumi 3:23, 5:8, 6:23

Siku ya 40: Amri kuu Matayo 28:18-20

Siku 7 Pamoja na Yesu – Neema

Siku ya 3: Neema na Sheria Luka 12:32-34; 13:10-17

Siku 6 Pamoja na Yesu – Fedha na Umiliki wa Mali

Siku ya 1: Kumfuata Yesu Luka 5:4-11, 5:27-28, 6:12-16

Siku ya 3: Wasiwasi Luka 11:1-13, 12:22-28; 17:6

Siku ya 5: Zakayo Luka 19:1-10

Siku ya 6: Mambo ya Fedha Luka 19:45-48; 21:1-4